Afya
AFYA BOMBA: UKIMWI hauna likizo!
Kauli mbiu ‘Nenda Salama, Cheza Salama, Rudi Salama, UKIMWI hauna likizo’ ni ujumbe mkuu na muafaka uliotolewa katika tamasha la Usiku wa Funga Mwaka wa vyuo vikuu.
Utawala
Baraza la Mawaziri
Desemba 14, Tanzania ilifanya uchaguzi wake Mkuu. Lifuatalo ni Baraza la Mawaziri kama lilivyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete
CHEZASALAMA YAANZISHA CHATTING
Mtandao wako huu wa lugha mbili na unaamini katika ushiriki wa watu, chezasalama.com inakuletea mpango wa kuchat!
Elimu
Vyanzo vya migogoro vyuoni
Kutokuwepo kwa mawasiliano mazuri kati ya walimu na wanafunzi, wizara na taasisi za elimu ya juu kumeelezwa kuwa ni moja ya sababu zinazochangia kuwepo kwa migogoro katika vyuo vikuu.
Health
GTZ and health information
GTZ trains 43 health trainers in Tanga Region
|
 |
 |
 |
Mabest! Msibaki nyuma! Cheki hapa yanayoendelea, utafaidika. Habari kem kem!

|
 |
 |
|