Logo
Sera ya Lugha kiengerezi

Unyanyapaa
Haki za Walioathirika
Zaidi
Niende wapi
 Stori yangu
Maswali na Majibu
Chagua Lugha
Kuingia katika majadiliano

 
   
   Hujaandikishwa?
   Andikisha
hapa

   Homepage > VVU/UKIMWI > Kuishi kwa matumaini > Stori yangu
Stori yangu

Angalia habari hapa chini kwa maelezo zaidi!

Dada Vumilia na Kaka Sultan waamua kupima
Dada Vumilia na Kaka Sultan, ambao hivi sasa wanaishi wa VVU kwa matumaini, baada kuhisi kwamba hali si shwari waliamua kupimwa kama wameambukizwa VVU au la
Dada Vumilia atelekezwa na mumewe
Imekuwa ni kawaida kwa watu wanaogundulika kuwa na virusi kuachwa na wapenzi, waume au wake zao
Watoto wake hawakumtupa
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa watu wengi hata katika familia kuwanyanyapaa waathirika.
Wanangu wasimamishwa shule- Vumilia
Kwa kukosa fedha za kulipa michango shuleni, watoto wa Dada Vumilia walikosa masomo kwa miaka miwili mizima
Irene, mtoto anayeishi kwa matumaini
Mtoto wa miaka 11 ambaye ametangaza kuwa anaishi na virusi vya UKIMWI anataka kuwa mwandishi wa habari akiwa mkubwa
Sijakata tamaa
Kijana ambaye amegundulika kuwa anaishi na virusi vya UKIMWI anaelezea anavyoishi kwa matumaini
Kutunza akili na mwili wako
Unapokuwa na VVU unahitaji kuuweka mwili na akili yako kuwa madhubuti.