Logo
Sera ya Lugha kiengerezi

Chagua Lugha
Kuingia katika majadiliano

 
   
   Hujaandikishwa?
   Andikisha
hapa

   Homepage > VVU/UKIMWI
VVU/UKIMWI

Virusi vinavyosababisha UKIMWI (VVU) ni tatizo kubwa na limeshatangazwa kuwa ni janga la kitaifa Tanzania! VVU vimetangaza vita dhidi ya kizazi chetu nasi tutangaze vita dhidi yao. Virusi hivi huenea hasa kwa ngono zisizo salama. Viingiapo miilini mwetu huishi kwenye damu, manii na kwenye majimaji yatokayo ukeni kisha huharibu mifumo yetu ya kupambana na magonjwa. Watu wengi wameathirika au wameathiriwa na VVU/UKIMWI. Pata habari za VVU/UKIMWI hapa uweze kuwa mstari wa mbele katika vita hivyo.

Kujikinga na Maambukizi Kujikinga na Maambukizi
Kuna njia mbalimbali ambazo mtu anaweza kuambukizwa VVU. Kurasa hizi zitakufafanulia njia hizo na jinsi ya kujikinga na maambukizi, Zisome zikulinde!


Upimaji VVUUpimaji VVU
Kwanini ni muhimu kupima? Faida za kupima ni zipi? Wapi naweza kwenda kupimwa? Majibu ya maswali haya na mengine mengi utayapata hapa! Bofya tu!


Kuishi kwa matumainiKuishi kwa matumaini
Kuambukizwa VVU siyo mwisho wa dunia! Bado unaweza ukaishi maisha marefu bila kupata UKIMWI. Pata habari unyanyapaa, haki za waathirika na mambo mengine mengi kuhusiana na kuishi na VVU/UKIMWI hapa.

Top of page