|
Kuna ukatili mwingi sana
duniani ambapo wanawake na watoto ndio waathirika namba
moja! Ukatili hukiuka haki za binadamu na uko katika sura
mbalimbali. Kuna vipigo, kutukanwa, kushikwa au kupapaswa
mtu bila ridhaa yake, ubakaji, ulawiti, unajisi na baadhi
ya mila potofu kama vile ndoa za lazima, za umri mdogo
na kurithi wajane. Ukeketaji (kutahiri wanawake) ni moja
ya ukatili. Vitendo vya ukatili havina budi KUKOMESHWA!
Kama unakatiliwa usikate tamaa, soma mambo yanayoweza
kukusaidia kukabiliana na hali hiyo na wapi pa kwenda
kwa msaada.
Unyanyasaji
wa kijinsia
Je, patna wako anakunyanyasa kijinsia? Unataka kufahamu zaidi kuhusu ubakaji, ushambuliaji wa aibu au kunyanyaswa kwa maneno? Cheki hapa.
Mila
potofu na gandamizi
Pata habari kuhusiana na mila na desturi zinazoathiri wanawake kama vile ndoa katika umri mdogo, kurithi wake, kunyang'anya mali, ukeketaji na upendeleo kwa mtoto wa kiume hapa
Zaidi
Kuna mambo mengi ya kuyajua kuhusiana na haya...
Niende
wapi
Hapa unapata habari kuhusu wapi unakoweza kwenda kupata msaada na ushauri endapo wewe au mtu unayemjua amenyanyaswa kijinsia.
Top of page
|