Yap!
Sabasaba ndo imewadia kwahiyo kama kawaida, GTZ na SPW zitawakilishwa na mshirika wao wa Chezasalama, yani Femina HIP kwenye Viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere, Dar es Salaam, kuanzia tarehe 27 Juni 2009. Usikose nafasi hii adimu ya kununua mifuko baabkubwa ya Chezasalama, mashati pamoja na bidhaa nyinginezo kwa bei ya kutupa. Njoo, jifunze, na ujionee mwenyewe. Labda niseme hivi, sisi tuna hamu ya kuwaoneni nyie rafiki zetu wa Chezasalama.
Karibuni sana
Freddie
|